Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul_Bayt (a.s) -ABNA- Ombi la kupatiwa Scuff / Kitambaa kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kutoka kwa muombolezaji wa Lebanon aliyehudhuria katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini (r.a) kwa ajili ya kushiriki katika Majalisi za Siku za Fatimiyyah, limechapishwa kwa wingi sana katika mitandao ya Kijamii.
7 Desemba 2024 - 14:49
News ID: 1511758